Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » NAY WA MITEGO AFUNGUKA KUHUSIANA NA WIZI WA ESCROW


Haya ndo maneno ya Nay wa mitego kuhusiana na kashfa ya escrow

"Hii nchi imeozaa.Kwa Stahili hii viongozi wataendelea Kuiba tu. Coz wanajua hawatafungwa na wataendelea kubebana na Yataisha tu.

Nyie wananchi mnaojifanya mnahasira kwa kupiga wezi hamna lolotee. Wezi wa kupiga mnawaacha mnawapiga vibaka.

Ndio nyie mtu mweusi akiiba kitumbua mnampiga,akiiba
mzungu kitumbua hicho hicho mnaishia kucheka tu. Yani Hata nisikie nchi hii imeuzwa sitashtuka na wala sitahangaika kuangalia sijui bunge sijui uchafu gani. Yani ukipata nafasi ya kupiga hela nchi hii wewe piga tena kwa asilimia zote wala usiogope"

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga