Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » MTOTO KUMPA FARAJA AUNTY EZEKIEL


Mkali wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel.
MKALI wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel
amefunguka kuwa pamoja na kupoteza
wazazi wake miaka kadhaa nyuma pindi
akiwa mdogo, anaamini mtoto
atakayejifungua atamfuta machozi ya muda
mrefu ya kuwapoteza wazazi wake.
Aunty alifunguka ishu hiyo kwa upole,
ambapo alisema kifo cha wazazi wake
kilimfanya kulelewa na bibi yake pamoja na
shangazi.
“Kutokuwa na wazazi ni pigo kubwa kwangu,
lakini hata hivyo naamini kwamba
mwanangu atakuwa na furaha ambayo
nilikuwa naipata kutoka kwa wazazi wangu,
atakuwa ni zaidi ya rafiki au ndugu, ndiye
atakayenifuta machozi ya kufiwa,” alisema
Aunty.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga