Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » RAY C AJITAMBA NA NYOTA YAKE.


kupitia account yake ya insta...Ray C azid kuwaacha midomo wazi mashabik zake.. hiki ndicho ameandika... nanukuu... Haka kademu kaliumiza wengi na hako kakiuno dah kalikuwa homa ya jiji na ndio maana kakarushiwa pepo la madawa maana kalikuwa kanasumbua sana kimuziki na kimvuto!ndio maana hakuna hata msanii mwinzie aliempa hata pole mwee!tatizo kanyota kake ndo kalimletea majanga maana kanyota kake kalin"gara sana ndio maana kakapewa mtihani mgumu ili
kaadhirike na pengine kapotee kabisa lakini kana bahati mungu nae alikapenda sana na ndio sababu kamepewa nafasi nyingine ya kuishi na kutimiza mallengo yake!tatizo wabaya wake wana hasira ile mbaya kwanini kamerudi tena?kwanini kabishi kufa kama paka?

kwanini kamerudi tena kwenye muzikj?kwanini hakajafa!!!kwanini ziko nyiiiiiiiingi?????kwanini kaliokolewa na mkubwa wa nchi????kwanini Rais alikasaidia????mxuiiiiiiiiiii KWANINI NYIIIIIIINGI?MWEEEEE BAHATI YA MWEZIO USIILALIE MLANGO WAZI!NDO HIVYO TENA NDO ISHAKUWA!!!!WE KAA UJIULIZE KWANINI KWANINI!!!!WAKATI UNALISUBIRI JIBU MWENZIO NIKO MBALI TAYARI!ZE PROBLEM IS ZE NYOTA!!!!!Ndo jibu labda!Kwanini my foot! je, wewe unalo lakusema? karibu 

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga