Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

Staa wa Nollywood atoa trela ya video yake mpya ya Ngono

-->
Kama inavyoonekana katika picha, video hiyo mpya inayokwenda kwa jina la Destructive Instincts 3&4. Mwanadada Judith Okopara (41) mama wa watoto wawili ikafanya balaa lake. Kwa watu wazima tu Liknk ya Video hiyo ni hiyo hapo Chini.
http://gossipworldng.blogspot.com/

Nick Minaj Akaa Uchi katika front page la jarida la KING

--> Mwanadada Asiye ishiwa vituko, Nick Minaj amefanya balaa tena baada ya kupata tenda katika jarida la KING akiziacha sehemu zake za siri waziii.

Chid Benz Yamkuta- Achezea Ngumi jiwe toka kwa Kala Pina



Baada ya kumtandika makofii Mangwair, Msanii Chid Benz amepata malipo hapa hapa duniani baada ya kuvamia shoo ya Kikosi cha mizinga Maisha Club Juz juz huku akiwa kalewa na kutaka kutoa burudani baada ya kumpokonya Nick Mbish Mic ambaye alikuwa stejin. baada ya tukio hilo Mic ikazimwa na ndipo Kala Pina akapanda Jukwaani na kuamrisha yoyote asiyehusika na shoo ashuke chini, hapo Chid akakaidi amri, kutahamaki boonge la gumi hadi chini, na alipotaka kurudi stejini ali a fight back akazuiwa na kamati ya ulinzi.


Cheki Video hapa chini

-->


Miongoni mwa Picha za Wababa waliotia fora kwa kucheza

Hii ni miongoni mwa picha katika collection ya hot 20 photos ya wababa waliotia fora kwa kucheza regardless their political or influential roles.
-->


Ronaldo amsaliti Mpenzi wake sababu ya Miss Bum Bum 2013













No wonder Cristiano Ronaldo didn’t play well during Real Madrid vs Borussia Dortmund match on Wednesday April 24th (Real lost 4-1 to Dortmund)…he had sex two days before…lol.
Andressa Urach (pictured above right) is claiming the star footballer, who is in a serious relationship with Russian super model, Irina Shayk, slept with her in a £12,500-a-night Villa Magna hotel on Monday April 22nd. Andressa is 2013 Miss Bum Bum Brazil queen. She told The Sun UK that Cristiano got in touch with her after seeing her photos online, and had sex with her just a day after Ronaldo was pictured leaving a restaurant with Irina (pictured left).
Andressa said she took a taxi to the hotel that Monday and waited for Ronaldo at the Lobby. Ronaldo eventually arrived in a grey Audi R3 and parked in an underground car park before taking a private lift to his room, from where he texted her his room number. The beauty queen said the sex was great.

“It was incredible, his body’s perfect, like a Greek god. He went on for hours and would not stop talking about my butt.’
Cristiano’s girlfriend, Irina, is known as one of the world’s top swimwear and lingerie models. Meaning her body is bad! Still he cheated on her. How much more us mere mortals! Lol. Men! Choi!!

Baba achoma moto mwanae sehemu za siri na mwilini kisha kutokomea kusikojulikana.


-->
The father of two year old girl has absconded after his attempts to cure her with boiling water left her with severe burns on her buttocks and genital parts.
The father, who is unidentified, is said to have held the little girl over boiling water to cure her of candidyasis.
But she fell into the hot water and sustained severe injuries. The young girl is currently at the 37 Military Hospital where she is receiving treatment. Doctors attending to the girl say she is responding to treatment.
Women’s rights group, WILDAF, which is assisting the mother of the girl to seek treatment, has condemned the father’s action.
Programme Coordinator Bernice Sam says his act constitutes abuse and negligence, for which he must be arrested.
She would however not ask for his imprisonment if found guilty. She suggested counseling for the man who is said to have fathered seven children with his wife.

Lema Kizimbani

Dar/mikoani. Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema anafikishwa mahakamani leo kwa madai ya kuchochea vurugu katika Chuo cha Uhasibu Arusha, huku ikielezwa kwamba jiji hilo litakuwa katika ulinzi mkali.
Ulinzi umeimarishwa maradufu katika mitaa yote jijini Arusha na Kituo Kikuu cha Polisi anakoshikiliwa mbunge huyo tangu usiku wa kuamkia Ijumaa iliyopita.
Lema anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo akidaiwa kuchochea vurugu katika chuo hicho baada ya wanafunzi kuchachamaa kutokana na mauaji ya mwenzao, Henry Kago aliyeuawa kwa kisu karibu na chuo hicho, Jumanne iliyopita.
Ingawa Jeshi la Polisi linadai ulinzi huo ni jukumu lao la kawaida la kila siku, lakini wingi wa askari mitaani umechagizwa na tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani leo kwa Lema suala linalotokana na rekodi ya wafuasi wa Chadema hasa kukiwa na jambo linalomhusisha mbunge wao na polisi.
Tangu baada ya Uchaguzi Mkuu uliopita mwaka 2010, wafuasi, wapenzi na viongozi wa Chadema Arusha na kitaifa wamekabiliana mara kadhaa na Polisi mkoani hapa na moja ya matukio yanayokumbukwa ni lile la maandamano ya Januari 5, 2011 lililoishia kwa mauaji ya watu wawili huku viongozi kadhaa wa chama hicho wakifunguliwa kesi ya kusanyiko lisilo halali.
Viongozi wa Chadema wanaokabiliwa na kesi hiyo ni Mwenyekiti, Freeman Mbowe, Katibu Mkuu, Dk Willbrod Slaa, Lema, wabunge kadhaa na viongozi wa ngazi ya wilaya na mikoa. Polisi kutoka wilaya jirani na Arusha za Arumeru, Monduli, Karatu na Longido wanahusika katika ulinzi huo ulioimarishwa tangu juzi.
Wafuasi wa chama hicho kikuu cha upinzani wamekuwa na desturi ya kujaa mahakamani pale viongozi wao wanaposhtakiwa kwa kosa lolote na hutoka kwa maandamano yasiyo rasmi kila kesi inapoahirishwa, jambo ambalo limekuwa likizua mvutano kati yao na polisi na aghalabu kuishia kuwatawanya kwa mabomu ya machozi na baadhi kutiwa mbaroni.
Ulinzi mkali ‘selo’ ya Lema
Polisi wameimarisha ulinzi katika eneo lote la Kituo Kikuu anakoshikiliwa mbunge huyo tangu Ijumaa iliyopita na tangu siku hiyo, watu ambao wamekuwa wakifika hapo kwa sababu mbalimbali wamelazimika kujieleza kwanza kwa askari wa doria kabla ya kuruhusiwa kukaribia lango la kituo hicho.
Katika mitaa mbalimbali nako kuna askari wenye silaha wanaotembea kwa miguu wakiwa wawiliwawili hadi watatu pamoja wale wa pikipiki na wa kikosi cha mbwa na farasi.
Kesi nyingine kubwa za leo
Mbali na kesi hiyo, huenda leo Mahakama Kuu ikatoa uamuzi wa maombi ya Jamhuri katika rufani ya kesi ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Jerry Murro na wenzake wawili.
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam inatarajiwa kutoa uamuzi wa kama Muro na wenzake wawili, Edmund Kapama maarufu kama ‘Dokta’ na Deogratius Mugassa wapandishwe kizimbani tena na kuanza kusikiliza upya kesi ya rushwa iliyokuwa ikiwakabili au la.
Kesi nyingine ni ya anayedaiwa kumuua Padre Evaristus Mushi ambaye atapandishwa kizimbani kwa mara ya tatu.
Mtuhumiwa huyo, Omar Yusufu Makame, mkazi wa Mwanakwerekwe, Unguja alikamatwa Machi 29, mwaka huu baada ya uchunguzi uliofanywa na wapelelezi wa Tanzania walioshirikiana na Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI). Pia leo kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda) Ltd, Iddi Simba na wenzake na inaendelea kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Mchezaji wa Ligi Kuu ampiga Refa Ngumi na Kumtoa damu Puani

-->


Indonesian footballer Pieter Rumaropen, who punched a referee in the face, has been banned for life by the country’s football authority.
The striker for Papua province club Persiwa Wamena, punched referee Muhaimin after he awarded a penalty to Pelita Bandung Raya during a Super League match on Sunday in West Java’s capital Bandung.
Muhaimin was taken to hospital where he received four stitches.
The match was held up for 15 minutes before a replacement official took over and gave Rumaropen a red card.
Hinca Panjaitan, a member of the disciplinary commission of Indonesia’s Football Association, PSSI, said Rumaropen’s behavior damaged the image of the country’s football.
In 2008, PSSI imposed life bans on four players for beating up a referee and his assistants.
Rumaropen’s Persiwa Wamena were tied 1-1 with Pelita Bandung Raya on Sunday when referee Muhaimin awarded a penalty to Pelita with eight minutes left on the clock.
Video replays of the incident showed Rumaropen running up behind Muhaimin and landing a swinging left hook on the referee, who had to be admitted to a hospital due to excessive bleeding from his nose.
Persiwa, currently seventh in the 18-team league, lost 2-1 after their opponents converted the penalty.
Persiwa defender Richardo Roberto was also sent off in the first half of the match


Angalia Video

Beckham atolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kucheza rafu mbaya

Huko katika Legue 1 nchini Ufaransa na kuisababishia timu yake kumaliza mchezo ikiwa na wachezaji 8 wa ndani baada ya kutolewa yeye na mwenzie .Beckham ambaye aliingia uwanjani kipindi cha pili alimchezea vibaya

-->

Youssef Adnane  na kumfanya refa kumpa kadi nyekundu moja kwa moja. Angalia video chini

Gone with the wind- Kenya Moore


-->

Angalia Jumba la Kifahari la Psquire



Mama alivyonishawishi kuwa "KAHABA"

-->
Curse her or lampoon her, Kaffy, the dance queen is not moved, neither is she going to deny it that, she was once encouraged into prostitution by her mother. When they say wonders shall never end, some people may not readily understand until they hear some life testimonies that leave the mouth agape, such is the candid disclosure of popular dancer and musician Kafayat popularly known as Kaffy.

She dropped the bombshell about how her mother nearly made her go into prostitution so as to make ends meet. The talented dancer revealed this while she was addressing a group of youths at a programme held not too long ago.

She divulged this while encouraging the young minds at the event to learn how to read between the lines so that they won’t be guided because sometimes, the people that they look up to may be the one that will lead them astray.

The talented mother of two, also disclosed that she had to pay her way through school as she did not attend the conventional school that every other child attends because she had to wait for the regular school goers to close from school so that she could borrow their books and cover up but luck smiled on her when she made a record for herself and country at Amstel Malta World Marathon Dance, by breaking the existing record for the Guinness Book of World Records through dance. And ever since, she has not relented on her oars.

Jessica Alba Ajifunga Kibwebwe Miezi 3 ili kurudisha Shepu baada ya kujifungua.

-->














Actress Jessica Alba squeezed into a double corset and wore it night and day to get her figure back after giving birth.
And it worked so well she was back at work, ­filming An Invisible Sign, just four months after ­having her first daughter Honor, now four.
Jessica, who is 32 today, said: “I wore a double corset day and night for three months. It was brutal, it’s not for everyone. It was sweaty but worth it.”
The Fantastic Four star told online magazine Net-a-Porter she had seven months off after second daughter Haven was born 20 months ago.
She also revealed how she and her husband, businessman Cash Warren, put the spark back in their five-year marriage on a recent holiday to St Barts in the Caribbean.
Jessica, who is in Sin City: A Dame to Kill For later this year, said: “Having time just for us, was cool.”







Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga