Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » Aliyefumaniwa Ashindwa Kesi

Mwanamke mmoja, Portia Jowa, Raia wa Malawi, ambaye alifumaniwa na aliyekuwa mumewe katika lodge moja akiponda raha na kijana mmoja, ameshindwa kesi aliyoifungua mahakamani akidai fidia ya $420, kama gharama za matunzo ya kila mwezi, hata hivyo mumewe huyo aliiomba mahakama impunguzie kiasi hicho na kushangaa kwanini ampe matunzo wakati watoto hao 3 anaishi nao yeye(mume), mbele ya hakimu Tatenda Manhanzva. Hakimu huyo aliitupilia mbali kesi hiyo na kumshauri mama huyo aanze na kufungua upya kesi ya kuwaomba watoto kisha ndo adai matunzo.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga