Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » Amuua Mwenzie Kisa " Mapishi"

Thomas Hahn, 55, Mkazi wa Florida Marekani ametiwa Hatiani kwa kosa la kummua mmoja kati ya Room mate wake 3, kisa ni ugomvi baina yao ulitokea baada ya kurudi maeneo wakiwa wamelewa na kulumbana kuhusu nani apike kitu cha "PORK CHOP" Njemba hasira zikampanda akaenda kulichukua Gobole lake na Kumfyatua nalo jamaa na kumsabibishia kifo chake.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga