Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » » Hapa "Tunajenga" au "Tunabomoa"?!!


Kweli wazazi wengine micharuko!! Yaani mzazi unathubutu kumwachia binti wako wa miaka 5-6 akapige picha kama hizi, halafu unategemea nini baada ya miaka 8 ijayo, si kashakuwa shangingi wa kufa mtu!. Mimi sijui maana kuna jamaa wamesema eti ndo "umodo" anaonesha kipaji mapema! wazazi tusiwe hivi!!!

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga