Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » Justin Bieber Chupu Chupu Kuuliwa

Ripoti zinasema kwamba Nyota Justin Bieber alikuwa katika chambo ya kuuliwa siku chache zilizopita. Shambulio hilo la mauaji liliandalia na mfungwa ambaye anatumikia kiungo cha miasha kwa kesi mbali mbali zuliwemo za uaji na ubakaji aitwaye Dana Martin, njemba hiyo ilifanya mipango na mfungwa mwenzie ambaye siku zake za kuachiwa huru zilikaribia  ili atakapotoka tu gerezani akamlize nyota huyo. Alimwambia afanye mpango wa kumuu kwa kutumia tai ya aina ulani ambayo Martini huitumia katika kufanya mauaji. tat ivyo njemba hiyo ilitiwa nguvuni na polisi kabla ya kufanya Maagizo hayo.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga