Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » Kim Kardashian Aomboleza kifo cha paka wake


Mwanadada Kim Kardashian kwa masikitiko yupo katiko maombolezo ya paka aliyefariki Ijumaa iliyopita kutokana ugonjwa mfano wa saratani ya uzazi. Ameandika katika blog yake kwamba yupo katika majonzi makubwa na hasa ukizingatia Mercy, paka huyo alipewa zawadi na boy friend wake Kanye West mwezi wa Tisa Mwaka huu.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga