Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » Mumeo yupo njiani, Jiandae Basiii!!!



Miongoni mwa sababu zinazopolekea wanandoa wengi kujikuta katika matatizo na migogoro ni mazoea, ambayo hupelekea kutozingitia umuhimu wa kujiweka nadhifu kila kukicha kwa mwenzio. Hili huwakumba zaidi wanawake, na hasa wakisha zaa ndo kabisa, utakuta mume anarudi anamkuta mkewe mchafu, hajamaliza kupika, nguo zake zinanuka mikojo ya mtoto, kikwapa ndo bhaaas! sas ujue we mwenyewe unamtengenezea mazingira ya mumeo kuibiwa hasa baada ya kuonjeshwa vitu vitamu toka nje akanogewa kabisaa ukaanza kumtafuta mchawi usimpate!Kungwi wangu wa leo kandondoshea hili, Jiandae kumpokea mpenzi wako ikiwa ushajua yupo njiani na anakuja nyumbani just for you!

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga