Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » "Nimelala na Chriss Brown Hotelini" Ayem Nour

Ayem Nour
Nyota wa Ufaransa Ayem Nour, ametamba kwamba wiki iliyopita alilala na Chriss Brown katika chumba cha hotel Moja Nchini humo wakati jamaa alipoenda kupiga show! Huku akifurahia alichokifanya amesema kuwa aliyekuwa Mpenzi wa Chriss Brown Karrueche Tran alikuwepo lakini alimzidi ujanja. Watu wanasema huyo anauchokoza moto wa Rihanna ambaye ndo kwanza wamerudiana na Criss Brown!

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga