Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » Teja "Lindsay Lohan" Ala Shavu

Mwanadada aliyeathirika na madawa ya kulevya huku akiwa kaanza tiba ya kuachana na matumizi ya madawa hayo ili kupona kabisa Msanii Lindsay Lohan amepata ofa ya kazi kutoka Ckub moja ya wacheza bila nguo huko Marekani ya kwamba atatakiwa awe anuhudumia mtandao upande wa kuchat online! bado mdada anatafakari ofa hiyo, kama atakubali itakuwa fursa nzuri kwake kuanza upya na kwa uzuri baada ya athari alizopata kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya!

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga