Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » Shule ya "Ukahaba" yafunguliwa Uhispania

Huko nchini Hispania imefunguliwa shule ya kutoa taaluma ya ukahaba ambapo mwanafunzi atatakiwa atoe Kiasi Cha Euro 100 tu kuanza mafunzo ambapo wamehakikishiwa upatikanaji wa kazi mara tu watakapohitimu mafunzo yao! Miongoni mwa mambo watayokuwa wanafundishwa ni historia ya mapenzi kupititia Mikao na Staili tofauti tofauti za KAMASUTRA na Midoli maalumu ya majaribio. 
 Matangazo ya shule hiyo yalianza kuonekana mwezi Mei mwaka huu na tayari imeshaanza uandikishaji na kupokea wanafunzi!

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga