Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » Ufuska wa "Wanavyuo"!

Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la vitendo vya ukahaba hapa nchini kwetu, katika kumbi za starehe na maeneo mbali mbali nyakati za usiku. Chakusikitisha ni kwamba wengi wa wanaohusika na watendo hayo ni wanfunzi katika vyo mbali mbali, wengi wao ukiwauliza watakwambia eti maisha ya chuo ni magumu na ndio maana wanaamua kujiingiza katika vitendo hivyo, na wachache hufuata mkumbo wa marafiki za kwani huwa wanatokea katika familia zinazojiweza tu kifedha na wanaouwezo wa kumkidhia mahitaji yake yote, Tamaa tu ndo tatizo maana wanachuo wengi wao hupenda kuishi maisha ya juu kupita uwezo wao!

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga