Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Baada ya Kushindwa Jeshi na Urembo akamatwa na Mdawa ya Kulevya

 Ni habari toka hukoMarekani ambapo mwanadada Naomi  Thriepland (25) amekamwatwa na shehena ya madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi za kitanzania Billioni 2.14. Madawa hayo yalikamatwa katika gari alilokuwa akiendesha mrembo huyo kuelekea Amsterdam. Ndani ya Gari alikuwa na binti yake wa miaka 7 ambaye alimfanya kama chambo kwani alipata kuwadanganya maaskari kwamba alikuwa anampeleka mwana huyo Disney Land Kutembea.
Akisomewa mashtaka hayo, hakimu amesema hakutegemea kwa mtu aliyepitia mafunzo kama yake kufanya kitendo kama hicho na amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 4 jela. Hivyo basi Naom ambaye ni mjamzito wa miezi 4 atajifungua mtoto wake wa pili akiwa gerezani.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga