Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Baby Madaha Akanusha kuwa na Uhusiano wa Kimapenzi na Slim

-->

--> Msanii Baby Joseph Maarufu kama Baby Madaha amekanusha habari zinazozagaa mtaani kwamba ana uhusiano wa kimapenzi na Slim. Baby aliongeza kuwa yeye na Slim ni mtu na Shemeji yake na kwamba wamekuwa karibu siku za hivi karibuni kutokana na kumshirikisha Slim katika Video yake Mpya. Kwake yeye ni Bora Maisha ya U single kuliko kujihusisha katika Mapenzi Tena.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga