Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Kakobe akana kulikacha Kanisa.


Askofu Kakobe aliyasema hayo, Januari 6, mwaka huu ndani ya kanisa lake alipokuwa akiwahutubia waumini wake na kusema ameshangazwa na baadhi ya vyombo vya habari vilivyosambaza taarifa kuwa amelitoroka kanisa hilo, kitu ambacho si cha kweli. “Kunisingizia habari hizo ni kama wananiongezea maono sababu kweli natarajia kuondoka siku za hivi karibuni lakini sikusema ni lini na nitakwenda wapi,” alisema Kakobe. Akithibitisha juu ya uwepo wake katika kanisa hilo, kiongozi huyo aliendelea kufanya maombi na ibada zake kama kawaida huku mamia ya waumini wakisubiri uponyaji na wengine wakitoa ushuhuda juu ya miujiza waliyoipokea.


Chanzo. GPL.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga