Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Kim Kujifungua Mwezi wa Saba

Mpenzi wa Kanye West, Kim Kardashian anatarajia kujifungua mwezi wa Saba mwaka Huu. Kupitia Mahojiano na kipindi kimoja cha Televisheni nchini Marekani Kim akiwa dada yake Kourtney amesema kuwa anafurahi tarehe yake ya kujifungua kuangukia mwezi huo kwani ni sawa na mwezi ambao Kourtney alijifungua, mbali na haya ni mwezi ambao ambao Prince William na Mkewe wanatarajia kupata mtoto. "Vitu hivi huwa havipangwi, ni Bahati tu, Na kuhusu ndoa sipendi kulizungumzi kwa sasa kwani tumeweka nguvu zetu katika ujauzito tu" Ameeleza.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga