Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Majonzi Kaburini kwa Kanumba katika Siku ya Yake ya Kuzaliwa

Baadhi ya wanafamilia na wasanii wa Bongo Muvi juzi walikuwa katika kaburi alipolala Marehemu Steven Kanumba kuweka Mashada na Kuwasilisha hisia zao kwa nyota huyo ambapo siku hiyo kama angekuwa hai basi angejumuika nao katika kusheherekea siku yake ya kuzaliwa. Miongoni mwa wasanii hao ni Mainda na Johari.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga