Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Milioni 13 za Wema Sepetu zamrudisha Kajala Uraiani.


-->


Msanii wa filamu za kitanzania Kajala Masanja ameachiwa huru leo mchana baada ya Msanii mwenzie WemaSepetu, kumlipia Faini ya Shilingi Milioni 13 na kumfanya asiende kutumikia kifungo cha miaka mitano jela. Kajala ambaye alihukumiwa akiwa na mumewe ambaye yeye ameenda kutumikia kifungo cha miaka saba jela kutokana na kupatikana na hatia ya kesi iliyokuwa ikiwakabili ya utengenezaji wa fedha haramu. Katika mahojiano na kituo kimoja cha radio nchini, Wema amesema kwamba anajisikia kama shujaa fulani kwa msaidia rafiki yake huyo na ilimchukua kama masaa mawili hivi kumaliza kila kitu.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga