Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » "Mauno" ya Aunt Lulu Yamzimisha Njemba Shughulini

-->

Mwanadada Lulu Mathias Semagongo Juzi juzi alimfanya jamaa mmoja kuzimia katika harusi ya bibie jack baada ya mwanadada huyo kukata kiono mpaka jamaa akapatwa na kizunguzungu na hatimaye kudondoka chini na kuzimia. Kioja hicho kilichovuta hisia za wengi kilitoka baada ya mwanadada huyo aliyebeba mzigo wa maana alipoamua kufanya kweli katika sherehe hiyo na ndipo miongoni mwa njemba zillizokuwepo hapo kuamua kuunga tela...... huku akiwa na sahani yake ya chakula mkononi mara "puuuh" chiniiii.-->

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga