Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Gwyneth Paltrow atia fora na kivazi chake


Mwanadada Gwyneth Paltrow (40), ametia fora baada ya kuingia na gauni liliokuwa wazi upande wa pembeni na kumfanya aonekane kama hajavaa kitu. kituko hicho kimetokea wakati wakizindua Movie mpya ya Iron Man 3 ambayo ameigiza kama mwanadada mahiri na komandoo. Kutokana na kivazi hicho baadhi ya wachambuzi wa mambo wamesema hakustahili kupewa tuzo ya mwanamke mzuri siku chache zilizopita.





-->


About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga