Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » » Mwalimu wa kike aliyelazimisha mapenz na wanafunzi wake ahukumiwa.





Mwalimu wa kike Ashley Anderson (24) katika shule ya Iowa High, huko marekani amejikuta hatiani baada ya kukiri mashtaka ya kuwarubuni wanafunzi wanne wa kiume kwa nyakati tofauti na hatimaye kufanya nao mapenzi. miongoni mwa mbinu hizo ni kuwatumia sms na picha zake akiwa hana nguo kupitia simu. kasheshe hilo limemkuta baada ya kuzuka mzozo na baadhi ya wapenzi wake hao akiwalazimisha kuzifuta ili awalipe.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga