Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » D'Banj Atoswa na Mrembo Jukwaani

Wiki iliyopita, msanii wa Dance hall, Mkali D'Banj alipata fedheha ya aina yake alipokuwa akifanya show katika concert moja huko Lagos baada ya kumlazimisha mwanadada mmoja mrembo kucheza nae, baada ya mkali huyo maarufu kama Koko Master kumfuata mrembo huyo huku akidhania dem huyo atajirahisi, mrembo huyo alimtosa kiana jamaa, jamaa kuona hali inakuwa ngumu akamvuta dem stejin, hata hivyo fedheha hiyo iliongezeka mara dufu baada ya kupanda Njemba nyingine na Kumchukua mrembo huyo huku akisisitiza kuwa yule ni mke wake na jamaa D'Banj aangalie ustaarabu mwingine.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga