Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » Kizimbani kwa kosa la "KUMKABA" mwenza wake!!

Akitoka mahakamani

Blaithin Crombie, 49 aliyewahi kuwa mshauri wa masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ambaye kwa sasa anajishughulisha na masuala ya Urembo, amepandishwa kizimbani baada ya kufunguliwa mashtaka na Aliyekuwa mpenzi wake (ambaye ni mwanasheria) kwa tuhuma za kumkaba na kumsababishia maumivu na msuguano katika ngozi ya koo.

Mtuhumiwa huyo anadaiwa kulifanya kosa hilo usiku wa majuzi ambapo alimwalika mwanasheria huyo kwa ajili ya kinywaji mida ya usiku, na pindi mwanaume huyo alipohitaji kuondoka, mwanamke huyo alisimama mlangoni na kumzuia asiondoke (kuna kitu alikuwa anahitaji...!!), baada ya kushindwa kumshawishi ndipo alipoaamua kumkaba koo kuashiria hasira zake.

Kwa mujibu wa sheria za Marekani, Blaithin crombie anaweza akaenda jela mwaka mzima kwa kosa la udhalilishaji wa kijinsia.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga