Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Mambo ya Soka na Obama

-->

--> Katika Kukamilisha Ziara Yake Nchini Tanzania, Rais Obama alitembelea Kiwanda cha Nishati cha Symbion Ubungo, hapo tunaona Mzee Obama akionesha madoido kwa kuupiga mpira maalum kwa kichwa na danadana, mpira huo unauwezo wa kuzalisha Nishati ya Umeme ambayo huweza kutumika kuchajia simu na kuwasha taa,
na huchajiwa ukiwa unadunda dunda.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga