Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Omotola Jalade, Mkongwe wa Nollywood asiyechuja kimvuto

Miaka ya 1998 hadi 2002, kwa wale wapenzi wa Tamthiliya za Ki Nigeria Hii sura ya Mlimbwende huyo si ngeni machoni mwao na hasa ukizingatia kipindi hicho hata Bongo Movie hawakuwa na Soko, basi macho yetu soote yalikuwa Nigeria na Ghana.

Omotola, Mumewe na watoto wao wawali Kushoto Kwao


Kama Alikuwa kabla ya kuolewa na kuzaa, Mwigizaji huyo wa miaka 40 na, Anaonekana mwenye mvuto na kuzidi kuvutia kama mabinti wadogo. Angalia picha zote mbili kisha utoe tathmni yako.


About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga