Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » Mchungaji akamatwa kwa kosa la kuupinga Ushoga na Usagaji.

Tonny Miano ni Mchungaji kutoka nchini mMarekani ambaye alikwenda Nchini Uingereza katika Kufanya Mahubiri Huko. Kilichomkuta kilisababishwa na yeye kusema ya kwamba tabia za kishoga na kisagaji ni Dhambi na hazimvutii Mungu,.

Polisi walipigiwa simu na mwanamke mmoja aliyekuwa eneo la tukio akilalamika ya kwamba hajafurahishwa na maneno anayoongea Tonny, ambaye ni askari mstaafu wa jeshi la polisi nchini Marekani.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga