Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » Ex-Lover wa Pokello, Mshiriki wa BBA Amjibu kwa Nyimbo.


Mwanamuziki, Rapper Stunner ameachia Single yake mpya inayokwenda kwa jina la "Bye Bye" ambayo kiundani inamjibu Aliyekuwa Mpenzi wake, Mwakilishi katika jumba la BBA The Chase, Pokello ambaye uhusiano wao ulivunjika baada ya mwanamke huyo kuanzisha mahusiano na Mshiriki Mwenzie Elikem wa Mjengoni hapo

Pokello alimkacha Stunner live katika mahojiano na kiyuo kimoja cha Television cha nchi hiyo, wengi wamesema mbinu ya mwanadada huyo kujiweka karibu na Stunner ilikuwa ni kujijengea Umaarufu tu.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga