Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Mchungaji Anayejihusisha na Vitendo vya Ushoga Ahukumiwa Kifungo


Mchungaji wa Kanisa la Pentecost Huko Benin amehukumiwa kwenda jela baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na vitendo vya Kulawiti Waumini wake. Hayo yalibainika baada ya mmoja wa waumini hao kijana mwenye umri wa miaka 15 kueleza kila kitu kwa wazazi wake huku akisisitiza ya kwamba ni Mungu amemshawishi aseme ukweli huo.

Kwa Upande wake Mchungaji huyo Phili Ogbebor, 42, amesema ya kwamba hana wa kumlaumu juu ya makosa yake na anamwachia Mungu Apitishe Hukumu ya Haki.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga