Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » Mwalimu wa Miaka 22 ajihusisha kimapenzi na Mvulana wa miaka 15.

Kalee Warnick


Mwalimu wa Somo la Kiingeeza katika Shule ya Wall huko New Jersey anakabiliwa na shitaka la matumizi mabaya ya madaraka na kumlazimisha mapenzi mwanafunzi wake wa miaka 15.

Kalee Warnick,22, alikamatwa Jumanne iliyopita kwa kosa hilo la kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Mtoto, kesi yake imepangwa kusikilizwa Alhamisi Ijayo hata hivyo wakili wa mwalimu huyo Amesema ya kwamba mteja wake amepanga kukana mashtaka yanayomkabili.

Shule hiyo ambayo mwalimu huyo pia alisoma na kumaliza mwaka 2008

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga