Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » BRUNO MARS NDIO MWANAMUZIKI BORA WA BILLBOARD 2013


Huenda Miley Cyrus ameongoza zaidi kwa kuwa juu nabni ukweli usiopingika kwamba Justin Timberlake amerudi kwa kishindo kwenye muziki, ila habari sahihi ni kwamba Bruno Mars ndiye ambaye ametajwa kuwa msanii bora wa Billboard kwa mwaka 2013.
"Ni maendeleo, ni heshima," Mars alisema kwenye mahojiano wiki hii. "Najisikia fahari kuwa sehemu ya timu hii yote niliyonayo."

Nyimbo za mwaka huu za mwimbaji huyo zinahusisha pia wimbo namba moja When I Was Your Man na ngoma namba 5 akiwa na Treasure.

Album yake kali, Unorthdox Juxebox, ilizinduliwa mwaka jana na imeuza zaidi ya nakala 1.8 million. Ikiwa ndiyo album ya pili bora kimauzo nyuma ya album ya Timberlake iitwayo The 20/20 Experience.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga