Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » MWANAMITINDO NAOMI CAMPBELL AMWAGA MACHOZI MBELE YA JENEZA LA MANDELA


Mwanamitindo nyota Duniani Naomi Campbell alijikuta akimwaga machozi alipokuwa anapita kuliangalia jeneza la Hayati Nelson Mandela, wakati mwili wa nembo ya mpigania ubaguzi wa rangi huyo na aliyekuwa Rais mweusi wa kwanza wa Afrika Kusini ulipowekwa kwenye majengo ya Union ndani jiji la Pretoria.
Maelfu ya watu walifika kumuaga Mandela, watu mashuhuri Duniani walitoa heshima zao za mwisho kwa nembo hiyo ya Ulimwengu.

Nelson Mandela alifariki mnamo Alhamisi ya December 5, 2013  akiwa na umri wa miaka 95 na atazikwa siku ya Jumapili December 15, 2013 ndani ya Qunu, nyumbani kwao Mashariki ya Jimbo la Cape.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga