Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » THE GAME AJICHORA TATOO YA MANDELA MWILINI MWAKE



Kwa mujibu wa taarifa za hivi karibuni ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii, rapa mashuhuri toka nchini Marekani, The Game amechora tattoo ya sura ya Nelson Mandela kwenye mwili wake.
Rapa huyo ameposti na ku-share picha hizo na mashabiki wake, akiandika;
“The finished “Nelson Mandela” lookin out of the prison bars by @NikkoHurtado done on my side. 7 hour sitting…. Few more hours to tie in the tats around it & we solid. #NelsonMandela #RIP #Legend #Leader #Freedom #Peace #Equality #Tattoos #SouthAfrica”.

Angalia picha hapo chini.



About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga