Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » UMEPATA KUIONA CHENI MPYA YA ALMASI YA 50 CENTS, CHENI AMBAYO THAMANI YAKE KWA BONGO WAWEZA JENGA MIJENGO KADHAA.


Rapa toka Marekani, ambaye pia ni mjasiriamali, muwekezaji na muigizaji 50 Cent sio tu kwamba ni tajiri, ila ni tajiri kupindukia.

Nyota huyo hivi karibuni alidhihirisha hilo kwa kuonyesha cheni yake kubwa ya thamani kupitia ukurasa wake wa Instagram.


Cheni hiyo ina vidani 172 vya almasi ambavyo uzito wake unakaribia kilo mbili. ‘Fifty’ aliiposti picha hiyo, huku akiweka maneno haya chini yake:

“Mimi ni mtamu kwa sasa. Jaribu kilo mbili zenye vidani vya almasi 172 orijino”.



Sina hakika kwa sana ila kibongobongo kwa cheni hii huwezi kujenga shule kadhaa za kata...?

Kupitia Ukurasa wake, 50 aliandika " I am chunky right now. Try 2 kilos 172 carrots natural diamond"


About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga