Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » MCHEKI LADY GAGA HAPA AKIWA NA GAUNI LENYE IPAD MOJA KWA MOJA


Mkali huyu mwenye umri wa miaka 27 ambaye kwa sasa anayeshika nafasi za juu kwenye chati mbalimbali Duniani, kwenye kipindi cha friday night chat ndani ya jiji London aliamua kuvaa nguo hii isiyo na vishikizi kwa ajili ya kipindi hicho.

Gaga alivaa nguo hiyo yenye kava maalum la plastiki ambalo lina sehemu ya kuweka iPad ambayo imejengewa ndani yake.

DC Blog.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga