Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Ajiua Baada ya Kuachwa na "SUGAR MUMY"




Kijana wa miaka 22, Michael Jaja, mkazi wa Tema huko Ghana ameamua kuyamaliza maisha yake matamu na kujiua kufuatiwa kuachwa solemba na Sugar Mumy wake wa miaka 48.

Jaja ambaye alikuwa alifikia uamuzi huo baada ya Jimama hilo kumtema na kumweleza ya kwamba raha zote zimefikia ukingoni kufuatia ujio wa mwanaume wa Jimama hilo aliyekuwa nje ya nchi(Ulaya).

Mbali na hayo ilimpasa kuhama katika mjengo wa Sugar mamy huyo na kurudisha gari alilokuwa akitembelea, Michael ambaye alilewa maisha ya anasa mbali na safari za mara kwa mara za Dubai na China alishindwa kuukubali ukweli ya kwamba atarudi katika maisha ya msoto tena.

Alitishia kujiua mbele ya mwanamke huyu ambapo alitaka kunywa tindikali na akawahiwa na mwanamke huyo tukio lililopelekea mwanamke huyo kumwagikiwa kidogo na Tindikali Hiyo.

Hili ni Fundisho na Tahadhari kwa vijana wengine ambao wanapenda maisha ya dezo.


About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga