Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Sheria ya Kuwatoza Faini Wateja wa Makahaba Yapitishwa, Ole wako ukamatwe




Mnamo siku ya Jumatano watunga sheria nchini Ufaransa walipitisha muswada ambao utawafanya wateja wa makahaba kutozwa faini kuanzia kiasi cha €1 500.

Sheria ya kupinga ukahaba ilipitishwa na mkutano mkuu ambapo Manaibu 268 wakipiga kura ya kukubali, 138 walipinga na 79 hawakupiga.

Sheria hiyo ambayo kwa sasa inahitaji kukubaliwa na Bunge la nchi hiyo, imekuja mara baada ya kupitishwa nchini Sweden ambapo kwa sasa inatumika ambapo wateja wa makahaba hutozwa faini kwenye nchi hiyo katika kile kinachoonekana kutaka kuitokomeza taaluma hiyo kongwe.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga