Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Aota maziwa baada ya kuiba Ng'ombe wa Watu


Wakati mwengine huwa nacheka na kushangazwa na kutokana na habari ambazo binafsi zinanifikia, ila ni kazi yangu ya kuzifikisha kwenu na kuwaachia ninyi kuweza kufanya maamuzi ya kuamini au kutoamini.

Jamaa huyu mwenye umri wa miaka 40 kutoka Nherera ndani ya Mhondoro, Zimbabwe gafla maziwa yake yalianza kukua kwa kile kinachoelezwa kuwa aliiba ng'ombe wa mtu mmoja na kisha kuwauza.

Wanakijiji wa sehemu hiyo wanasema kuwa jamaa huyu aliyefahamika kama Acry Chinhivi Shayamano amefanyiwa kitu hiyo mbaya na aliyeaminika kuwa ni mmiliki wa ng'ombe hao.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga