Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » HUYU NDIYE BINADAMU WA KWANZA KUISHI MIAKA 60 BILA YA KUOGA


Mzee mmoja mwenye umri wa miaka 80 raia wa Iran, Amoo Hadji, inaelezwa kwamba mwili wake haujawahi kugusa maji (hajaoga) kwa miaka 60.

Hakika ngozi yake inatisha, na unaweza kubahatika kuyaona macho yake japo kwa mbali ila harufu inayotoka kwenye mwili wake ni mbaya na kali sana.

Sababu juu ya hilo ni rahisi: amegoma kuoga  kwa miaka sitini, basi.

Shuka chini uangaliepicha zaidi....










About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga