Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » FARAJA KOTA, AFUNGUKA YA MOYONI KUHUSIANANA MUMEWE, WAZIRI NYALANDU.

MISS Tanzania 2004, Faraja Kota amefunguka kuwa kamwe hawezi kuingilia kazi za mumewe ambaye ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kwani anaamini mumewe ana akili nyingi kuliko yeye.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.
Akizungumza na paparazi wetu, Faraja alisema siyo rahisi kuingilia kazi za mume wake zaidi ya kuzungumza naye kidogo sana kama kuna kitu amekiona anaweza kumshauri kwa sehemu fulani lakini siyo kwa kiasi kikubwa sana.
Faraja Kota.



“Unajua mume wangu ana akili zaidi kuliko hata mimi, naweza kumshauri kidogo tu kama nitakiona kitu fulani na siyo vyote kwa sababu ninaporudi nyumbani anakuwa ni baba zaidi na siyo kama waziri,” alisema Faraja.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga