Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » HATIMAYE BIMP NA BEVERLY WA BBA THE CHASE WAWA WAP3NZ! RASMI


Baada ya tetesi kuvuma kuhusiana na washiriki hao wa Big Brother The Chase kuwa na uhusiano baada ya kutoka mjengoni hapo, taarifa zilizothibitishwa zimenena zaidi.

Bimp, mshiriki kutoka Ethiopia kwa sasa yupo nchini Nigeria na imeelezwa kwamba wawili hao wamekamatana kihaswa. Beverly anatarajiwa kwenda South Africa kesho kwa ajili ya tuzo za channel O.

Mashabiki wa Beverly wamefurahia hatua hiyo na kumwambia ya kwamba hapo amecheza heko na si kwa Kale ka Jamaa ka Afrika ya Kusini yaani Angelo.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga