Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » MWANAMKE RAIA WA DENMARK ABAKWA HUKO INDIA


Polisi nchini India kwenye jiji la Delhi wapo kwenye uchunguzi unaohusisha kundi moja la ambalo limehusika na ubakwaji wa mwanamke wa mmoja wa Kidenmark ambaye alipotea njia alipokuwa njiani anarudi hotelini katikati ya jiji hilo.

Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 51 ambaye ni mtalii alivamiwa na kundi la wanaume kwenye eneo la Paharganj mnamo siku ya Jumanne jioni. Polisi wamesema alikabwa na kubakwa akiwa amenyooshewa kisu.

Mwanamke huyo aliondoka nchini India mnamo siku ya Jumatano asubuhi, Polisi wamesema.

DC

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga