Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » RIHANNA BILA "SIDIRIA" AKIMKUMBATIA JAY Z, CHEKI MAPICHA MENGINE YA TUKIO LA JUZI HAPA.


Pati ya awali ya The Roc Nation kwa ajili ya tuzo za awali za Grammy Brunch ilifanyika LA mnamo siku ya Jumamosi, January 25, 2014 huku ikihusisha nyota wengine toka Hollywood.
Uwepo wa Jay Z na Rihanna kilikuwa ni moja kati ya vitu vilivyogusa watu wengi waliofika kwenye tukio hilo kwa maswali kutokana aina ya pozi na kwa vile walivyokuwa pamoja.

Cheki hapo chini picha za tukio hilo...

 Hapa ni Rihanna na Jay Z wakichat kimtindo


Rihanna alifika kwenye tukio hilo akiwa na top moja matata huku ndani yake akiacha kuvaa bra na sketi ya toleo la Altuzzara spring 2014.


 Wageni wengine wliokfika alikuwepo watoto wa Will Smith, Jaden na Willow Smith, Ne-Yo, pia marapa T.I., J. Cole na Wale. 

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga