Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Tabuley Mklali aliyetamba na kibao cha "Muzinaa" Afariki Dunia


Mkongwe wa muziki wa dansi nchini DR Congo, Tabu Ley amefariki dunia nchini Ubelgiji.

...Alipokuwa amelazwa kabla mauti kumkuta.
Tabu Ley amefariki nchini humo baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa kiharusi kwa zaidi ya miaka minne.
Mkongwe huyo ndiye mwazilishi wa miondoko ya Sokous iliyoshika chati na kuwa moja ya aina ya muziki uliopendwa zaidi duniani.Alitamba wakati huo pamoja na mwanamama Mbilia Bel ambaye baadaye alihamia nchini Kenya.Baadhi ya albamu zake kali wakati wa uhai wake ni Tompelo, Babeti Sokous, Tete Nakozonga na Muzina ambayo ilikamata ile mbaya.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga