Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Vanessa Mdee alianzia Huku kabla ya Kuingia Bongo Flava


Moja kati ya vitu ambavyo binafsi sikuwa nafahamu ni kwamba Vanessa Mdee alianza kuimba muziki toka akiwa mtoto na kwamba alishawahi kuimba hadi kwenye kwaya za Kanisani kwa muda mrefu.

Alizungumza hayo alipokuwa kwenye mahojiano na kipindi cha The Takeover (TKO) cha TBC fm mnamo siku ya Alhamisi 28 Novemba, sambamba na mambo mengine mwanzoni alianza kuelezea ujio wake mpya wa Come Over kuanzia idea mpaka wimbo unakamilika.

Sikiliza mahojiano hayo hapo chini...

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga