Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Waziri mkuu wa Latvia ajiuzulu kutokana na maafa yaliyoikumba Taifa hilo


Waziri mkuu wa Latvia, Valdis Dombrovskis, ametangaza kujiuzuru wadhifa wake mara baada ya kujiona kisiasa kuwa anahusika na kuanguka kwa paa la supermarket ambalo lilisababisha vifo vya watu 54 na kujeruhi wengine 40 wiki iliyopita, hivyo ana kila sababu ya kuwajibika kutokana na tukio hilo, Associated Press imetaarifu.

Paa la Supermarket ya Maxima iliyopo ndani ya Riga lilianguka siku ya Alhamisi Novemba 21 likiuwa watu kadhaa wakiwamo wakowaji watatu na wengine 39 wakiwa wameumia vibaya sana.

Kuanguka kwa paa la supermarket hiyo ni janga kubwa zaidi kuwahi kutokea kwa nchi hiyo ya Latvia toka mwaka 1950.

Nasi tujifunze kuwajibika....

Dc.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga