Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

MSICHANA WA KITANZANIA AISHIE INDONESIA APIGA PICHA ZA UTATA NA KUZIMWAGA MTANDAONI..!! Angalia hapa


Msichana mmoja ambae inadaiwa ni mtanzania aishie nchini Indonesia wiki iliyopita alirusha hewani picha zake za mitego kiasi cha kuzusha minong'ono kwente jamii yaq kitanzania inayoiishi nchini humo.

Kwa mujibu wamtandao mmoja wa mtanzania aishie nchini humo aliyefahamika kwa jina la Zabron Michael ulisema kuwa msichana huyo ambae inahisiwa kama ni mtoto wa kigogo flani lakini yeye ni Daktari anaefanya kazi zake binafsi nchini humo na alitajwa kwa jina moja la Happynes.

WANAFUNZI WA KIKE WA CHUO KIKUU UINGEREZA WANASWA WAKILA DENDA, WASEMA NDIYO STAREHE WANAYOIPENDA KULIKO CHOCHOTE..!!


Maskini ya Mungu wee yani sijui kama tutapata viongozi waadilifu tena Duniani kwani matukio ya wanafunzi wa vyuo kufanya ujinga yanazidi kushamili kila kukicha.

Katika hali ya kawaida tu jamani, hapa mapenz ya jinsia moja yanaiangamiza dunia, sijui nini kifanyike ili tuweze angalau kujinusuru na tatizo hili kubwa ambalo nchini kwetu hatuwezi kulikubali kamwe.

xdeejays.

MWANAMKE ACHINJWA KIKATILI KWA KILE KINACHODAIWA NI WIVU WA KIMAP3NZI...!! Samahani kwa picha hii ya kutisha




Mwili wa Bi Monica Elias ukiwa eneo la tukio mara baada ya jeshi la Polisi kupata taarifa na kufika eneo hilo.
Mwanamke Mmoja mkazi wa Kijiji cha Ntobo "B" kata ya Ntobo Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga,  aliyetajwa kwa jina la Monica Elias (40) ameuwawa kwa kuchijwa baadamajira ya sambili usiku wakati akiwa nyumbani kwake kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
Afisa Mtendaji wa Kata ya Ntobo Nichlous Lusana amesema tukio hilo lilitokea Alhamis februari 20 mwaka huu saa mbili usiku wakati marehemu Monica akiwa nyumbani huku mme wake Shihumbi Zanzibar(30) akiwa matembezini.

Lusana amesema, watu watatu wameshikiliwa na polisi wakihojiwa kufuatia mauaji hayo huku mmoja akiwa bado ameshikiliwa na wananchi wa Kijiji hicho, baada ya kukakamatwa akiswaga ng’ombe waliohisiwa kuwa ni malipo ya mtu aliyetekeleza mauaji hayo. 

Amesema Baada ya Zanzibar kurudi Nyumbani na kukuta mke wake ameuawa na kuacha mtoto wa miaka sita, alimtaja Ntumba Sitta(32) aliyehamia Ng’hwande-Tabora kutoka kijijini hapo kwamba alikwishawatamkia juu ya kutpanga kutenda uovu huo.


Kwa taarifa ambazo bado hazijarhibitishwa zinasema kwamba hadi sasa jeshi la polisi linawashilikia watu kadhaa kwa kutuhumiwa kuhusika na tukio hilo.

Dunia Kiganjani.

Fumanizi Zito…!! MJAMZITO AMNASA MUMEWE AKIWA NA HAWARA CHUMBANI KWAKE..!!


FUMANIZI

NI kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni! Fumanizi la aina yake lilitokea juzikati asubuhi ya saa 2, Mtaa wa Mbwela, Tandika jijini Dar ambapo mjamzito aliyejulikana kwa jina la Semeni  alipata ‘kichaa’ cha muda baada ya kumfumania mumewe, Dullah akiwa na mwanamke  mwingine chumbani kwao, Risasi Jumamosi lina kisa kizima.

Mke Ana ujauzito wa miezi 6

Akisimulia mkasa huo, Semeni mwenye ujauzito wa miezi 6 alisema kabla ya tukio aligombana na mumewe akarudi kwao kwa muda wa siku mbili lakini walikuwa wakiwasiliana mpaka asubuhi ya tukio ambapo alimpigia simu kumwambia anafuata nguo kwa vile anakwenda kliniki.
“Nilipokuwa njiani nilimpigia simu mume wangu

“Pamoja na majibu hayo, niliamua kwenda. Nilipofika nilikuta mlango umefungwa kwa ndani, nikampigia simu mume wangu, akasisitiza hakuna mtu, yeye yupo Posta.

Fumanizi
“Nilichungulia na kuona funguo, nikajua kuna mtu ila hataki kunifungulia, hapo wasiwasi ukazidi kwamba huenda kuna jambo linaloendelea,” alisema Semeni.

Mwanamke huyo aliendelea kuanika kwamba kufuatia hali hiyo aliwaita majirani ambao ilibidi wamtishe mtu aliye ndani kwamba asipofungua watavunja mlango, ndipo mlango ukafunguliwa na kumkuta Dullah akiwa na mwanamke mwingine chumbani, lakini mumewe huyo alichoropoka na kukimbia.
“Nilishtuka, nikapiga kelele ya mshangao kutokana na kitendo alichokifanya mume wangu, kumleta hawara mpaka kwenye chumba tunacholala!

Fumanizi

“Sijaamini kilichotokea! Yule ni mume wangu, amewezaje kumleta mwanamke ndani ya chumba tunacholala tena kuna wapangaji wenzangu wameshuhudia,” alisema mwanamke huyo huku akilia machozi.

Akaendelea: “Mimi hapa nyumbani siachiwi hela ya kula, kila siku nakula nyumbani kwetu,  nikijua labda mume wangu hana, kumbe anamalizia kwa hawara! Jamani inaniuma sana, kama hivyo bora amuoe basi tuje tuishi wote au aniache akae yeye.”

Fumanizi
Akizungumza na gazeti hili kwa uso ‘uliochunwa’, mwanamke aliyedaiwa kufumaniwa, Mwanaidi huku akiwa ‘ametaitiwa’ ndani, alijitetea kuwa hakufahamu kama Dulla ana mke.
“Mimi aliniambia hana mke wala mtoto na ndiyo maana nilikubali kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na yeye si vinginevyo, kama ningejua nisingekubali kuja, kwa hiyo siyo kosa langu,” alisema Mwanaidi.
Baada ya hali kutulia, baba mzazi wa Dullah ambaye anaishi jirani aliitwa kuamua ugomvi huo na kuamuru wote waende nyumbani kwake ambapo  aliagizia gari.
Wawili hao walipofika nyumbani kwa mzazi huyo walimshusha Semeni na kumtaka atangulie ndani, alipoingia tu, nyuma dereva alitakiwa kuondoka gari hilo kwa kasi  huku Mwanaidi akiwemo ndani ili kumnusuru.
Baada ya kubaini ‘triki’ hiyo, Semeni(Mke) alijirusha chini kwa hasira na kujigalagaza kisha kulikimbiza gari hilo bila mafanikio.

GPL

PATA MUDA KUANGALIA JINSI SHILOLE ALIVYOJIVINJARI NA MZAZI MWENZIE SIKU YA WAPENDANAO HUKO TABORA.

KWA mara ya kwanza, mzazi mwenza na msanii wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Elias Makala ameibuka na kujinadi hadharani wilayani Igunga, Tabora.
Shilole akiwa na mzazi mwenzake Elias Makala.
Tukio hilo lilitokea Februari 14, mwaka huu (Valentine’s Day) ambapo Shilole aliyekuwa amekwenda kufanya shoo mkoani humo, alishindwa kuzuia hisia zake baada ya mzazi mwenzake huyo kujitokeza na kujikuta wakioneshana mahaba mbele za watu.
Pozi hilo la kimahaba liliwashangaza watu na kuanza kudhani kuwa huenda wawili hao wakarudisha penzi lao lililokufa miaka mingi iliyopita.
“Mh! Kweli mtalaka hatongozwi, hebu ona Shilole alivyorembua alipomuona jamaa yake, pale Makala kumchukua ni kama kumsukuma mlevi,” alisema shuhuda mmoja.
Shilole akiwa na mzazi mwenzake klabu.
Baada ya paparazi wetu ‘kuusoma mchezo’ huo, aliamua kumuuliza staa huyo kama penzi lao limerudi upya au laa?
“Hahahahaa! Kwa kweli unanichekesha kuniuliza kama nimerudisha penzi kwa mzazi mwenzangu, huyu ni baba wa mwanangu Joyce, itabaki kuwa hivyo. Siwezi kumtenga na sioni ajabu kupiga naye picha, hakuna kinachoendelea,’’ alisema Shilole.
Licha ya kufafanua hivyo, usiku wa siku hiyo, Shilole alipokuwa jukwaani akipagawisha mashabiki kwa shoo kali, alimpandisha jukwaani mzazi mwenziye huyo hali iliyozua mtafaruku mkubwa kwa mpenzi wa sasa wa Makala aliyefahamika kwa jina la Maguno.



Baada ya shoo kuisha, Maguno aliyekuwa na jazba kwa mpenzi wake kupandishwa jukwaani, alimsaka Shilole kwa udi na uvumba kutaka kumtembezea kichapo lakini bahati haikuwa yake, hakuweza kumpata hadi msanii huyo aliporejea jijini Dar siku iliyofuata.

WADADA KUTAMANIANA, HAPA NDIO TULIPOFIKIA


Kwa hakika zama za wazee wetu jambo hili halikuwepo na wala lisingeweza kuunekana kirahisi kama ilivyo leo, Pichani ni mwanamke akimtomasa na kumshika kimahaba kalio mwanamke mwenzie kiasi cha kuleta hisia tofauti miongoni mwa wanajamii. Hii ni Hatari.

MISS TZ AMUANIKA MCHUMBA WAKE, BAADA YA KUTOKA NAE KWA SIRI ZAIDI YA MWAKA MMOJA


MISS Tanzania mwaka 2011, Salha Israel amevunja ukimya baada ya kumuweka wazi mwanaume anayetoka naye, jambo ambalo amejaribu kulifanya siri kwa muda mrefu.
Miss Tanzania mwaka 2011, Salha Israel.
Salha alifungua kinywa na kubainisha hayo, hivi karibuni alipokuwa kwenye mahojiano na
inayorushwa na mtandao namba moja wa burudani Bongo.
Akijibu swali la mtangazaji aliyekuwa akifanya naye mahojiano, Luqman Maloto, aliyetaka kujua kuhusu uhusiano wake, Salha alijibu kwa kifupi akisema: “Yeah! Ninaye mchumba.”
Akaongeza: “Anaitwa Moses. Ndiye moyo wangu, maisha yangu, kila kitu kwangu. Nafurahi mwanaume huyu kuja maishani mwangu, maana amekamilisha ndoto zangu. Najivunia kuwa naye kwa kweli.”
Hata hivyo, hakutaka kufafanua zaidi kuwa huyo Moses ni nani, anafanya nini na jina lake la pili, kwa maelezo kuwa ni mapema kufanya hivyo.
Huyu hapa anafafanua zaidi: “Hiyo inatosha, ni Moses. Hakuna haja ya mwanaume yeyote kuwaza tena kuhusu mimi. Nafasi imejaa.”
“Nawashukuru sana Global TV kwa kunipa nafasi ya kutoa yangu ya moyoni hasa katika kuweka mambo yangu hadharani, najipanga vizuri kufanya mambo makubwa ya kijamii na siyo skendo kama watu wanavyochukulia,” alisema Salha ambaye kwa sasa ametia maguu kwenye tasnia ya filamu za Kibongo.



Nje ya uhusiano, Salha amezungumza mengi kuhusu filamu, maisha ya warembo na mengineyo. GPL

MAMA WEMA NA DIAMOND, HALI BADO TETE!!!

MAMA wa Miss Tanzania 2006 aliye pia staa wa muvi za Bongo, Wema Sepetu, Mariam Sepetu amesema anamwomba Mungu bintiye huyo amfumanie mp#nzi wake asiyemkubali, Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Amani  lina picha kamili.
Wema na Diamond.
Akizungumza na mapaparazi wetu juzikati jijini Dar es Salaam, mama Wema alisema:
“Najua kwa sasa sina tena mamlaka ya kuingilia map#nzi ya binti yangu kwani mambo hayo yamenichosha, yananiumiza na kichwa.
“Lakini naomba sana kwa Mungu itokee siku moja Wema amfumanie Diamond akiwa na mwanamke mwingine labda ndiyo itakuwa kikomo chao cha kuwa wap#nzi kwani ndiyo ndoto ninayoiota kila siku.”
KWA NINI ANAOMBA DUA BAYA?
Mama Wema alikwenda mbele zaidi kwa kusema kwamba, amegundua binti yake huyo hana ubavu wa kuachana na Diamond hata kama atasikia ana mwanamke mwingine.
Mama Wema, Mariam Sepetu.
MAGAZETI PIA YAMESHINDWA
Mwanamke huyo anayemwogopa Mungu tu, alikwenda mbele zaidi kwa kusema kwamba, kuna wakati baadhi ya magazeti pendwa nchini yaliandika Diamond kuwa na demu mwingine lakini Wema hakukasirika wala kuachana na staa huyo wa muziki wa kizazi kipya.
MSIKIE MWENYEWE
“Kwa hiyo mchezo mzuri ni yeye (Wema) kumfumania huyo Diamond wake, maana magazeti tu  kuandika kwamba ana uhusiano na mwanamke mwingine mwanangu alivyofanywa mjinga wa kutupwa, hatamwacha.
“Mimi najua Wema anashindwa kukaa chonjo kwa sababu ndumba zimemtawala, amefunikwa labda baadaye atafunguka,” alisema mama Wema.
AIGUSA SAFARI YA DIAMOND NCHINI NIGERIA
Mama Wema akaanika jambo ambalo halijawahi kujulikana kabla.
Alisema: “Huyo Diamond ndo maana alikwenda Nigeria akashindwa kupiga muziki kwa sababu hakwenda na Wema, sasa ameona ampumbaze ili aweze  kwenda naye nchi za nje kwa masilahi yake binafsi, ataishia kumuahidi tu hana uwezo wa kumnunulia Wema kitu chochote chenye thamani kubwa, ni mpenda misifa tu. 
“Si mnamjua huyo ni mtoto wa Tandale? Anajiita yeye m...(alitaja jina la kinyesi) na kweli yuko hivyo.
NDUGU WA DIAMOND WAMEJAZANA KWA WEMA
“Ndugu zake walivyo washamba wamejazana hovyo pale kwa Wema. Wajinga mno, maana mshamba siku zote ni mshamba,”     alisema mama huyo.
HATAKI KUSIKIA WEMA ANA MIMBA YA DIAMOND
Katika hali iliyoonesha kwamba kweli hampendi Diamond, Bi. Mariam alisema hataki kusikia binti ana ujauzito wa msanii huyo.
Alisema: “Mbegu (uzao) gani atakayoileta kwangu, huyo mjukuu si atakuwa balaa, siwezi kuharibiwa wajukuu. Mtoto asiyeeleweka siwezi kumshika.”
Wema.
ACHIMBA MKWARA
“Halafu nataka kuwaambia enyi watu wa magazeti, haya mambo ya kumwongelea huyo domo acheni mara moja, dunia itamnyoosha,” alisema.
AJIRUDI KWA MWANAYE
Mama Wema alisema hawezi kumlaumu sana binti yake  kwa vile akili si yake, yeye (Wema) ni mwanake na atabaki kuwa mwanamke, ila siku zote lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho.
DIAMOND SASA
Juzi, Amani lilimtafuta Diamond kwa njia ya simu na kumjulisha kuhusu ndoto za mama mkwe wake huyo ambapo aliishia kucheka.
“Teh! Teh! Teh! Thubutu.”
Diamond.
HAIJAWAHI KUTOKEA
Kumbukumbu za makabrasha ya Amani zinaonesha kwamba, katika historia ya wap#nzi wa Wema, mzazi huyo hakuwahi kutokea kumkubali Diamond hata siku moja tu.
Amekuwa akimshukia mara kwa mara, madai yake siku zote ni kwamba, katika maono yake hajawahi kuona map#nzi ya kweli ya Diamond kwenda kwa Wema.



Japokuwa pia hajawahi kusema kama kuna map#nzi ya kweli ya Wema kwa Diamond.
Wema amewahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na marehemu Steven Kanumba, Jumbe Yusuf, Chalz Baba na Clement ‘kigogo wa ikulu’. Pia amewahi kudaiwa kutembea na TID na Mr Bluu

GPL.

RONALDO AZIDI KUKIMBIZA, ASHIKA NAMBA MOJA KATIKA ORODHA YA WACHEZAJI NA WENZA WANAOVUTIA ZAIDI, ANGALIA 9 WALIOSALIA.


Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo na mpenzi wake ambaye pia ni mwanamitindo, Irina Shayk, wamechaguliwa kuwa kapo yenye mvuto zaidi miongoni mwa wachezaji wa mpira wa miguu na wap#nzi wao, hii ikiwa ni mbele ya David na Victoria Beckham.

Ronaldo na patna wake walipata 18% ya kura zote kwenye utafiti uliofanywa na mtandao wa BetNegotiator.com.

Shuka chini upate listi kamili na picha zao....

Top 10 ya kapo zenye mvuto kwa wachezaji soka

1. Cristiano Ronaldo and Irina Shayk – 18 %

2. David Beckham and Victoria Beckham - 14 %

3. Lionel Messi and Antonella Roccuzzo – 11 %

 4. Steven Gerrard and Alex Gerrard – 9 %

5. Gerard Pique and Shakira – 8 %

6. Frank Lampard and Christine Bleakley – 7 %

7. Iker Casillas and Sara Carbonero – 6 %

8. Wayne Bridge and Frankie Sandford – 5 %

9. Gareth Bale and Emma Rhys-Jones – 4 %

10. Peter Crouch and Abbey Clancy – 3 %
DC.

T.I AKASIRISHWA NA TABIA YA MKEWE KUJIACHIA HOVYO MITANDAONI, ANGALIA ALICHOFUNGUKA HAPA.


Inaonekana T.I hakubaliani na vile ambavyo mke wake anavyojiachia na kuuonyesha mwili wake kwenye mitandao ya kijamii na watu wote kuona.

Rappa huyo milionea ambaye pia muandaaji wa muziki wa hip hop anaonekana kuchukizwa na vitendo hivyo vinavyofanywa na mke wake.
Toka tetesi zilipoanza juu ya T.I. na Tiny kuwa na matatizo kwenye mahusiano yao, Tiny amekuwa akiweka picha zinazoonyesha maumbile yake kupitia Instagram.

Mnamo siku ya jumapili, T.I alionekana kukasirishwa zaidi na kuamua kuandika kwenye sehemu ya comment katika kumkumbusha Tiny akimwambia, ana kitu ziada kukitoa zaidi ya makali0 yake.

Hizi ni comments za T.I kwenye posti ya Tiny...

DC.

MUIGIZAJI COCO AUSTIN AAMUA KUJIANIKA AKIWA MTUPU KIHIVYO


Muigizaji na mke wa rappa Ice-T, Coco Austin, hakubakiza kitu pale alipoamua kujiachia kwa kuacha mat!ti yake wazi alipokuwa akishuti kipande cha sehemu inayofata ya kipindi cha TV juzi ndani ya New York.

Coco, 34, alivua jaketi lake na kubaki wazi huku ch#chu zake zikiwa zimezibwa kwa vipande vya plastiki....

Cheki picha hizo hapo chini:




DC

PATA MUDA KUANGALIA PICHA ZA MWANAMKE MWENYE KIUNO CHEMBEMBA ZAIDI DUNIANI.


Mwanzoni nilikuwa natia shaka juu ya hili mpaka nilipokuja kuona kuwa naye yumo miongoni mwa watu kwenye kitabu maarufu cha kumbukumbu za Guinness world.

Cathie Jung ana miaka 77 na ndiye mwanamke mwenye kiuno chembamba zaidi Duniani. Hakika hii inashangaza kimtindo.

Cheki picha zaidi hapo chini...



lla unadhani hii ni hali ya kawaidia au ni ugonjwa...? DC.
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga