Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » HATIMAYE BEYONCE KUANZA KUSOMWA KAMA SOMO KATIKA KOZI ZA CHUO.


Queen Bee ameungana na watu wengine mashuhuri kama Oprah na mume wake Jay Z, (ambaye ana kozi sociology iliyopewa jina badala yake kwenye Chuo cha Georgetown), ambayo yanafundishwa kwenye vyuo. Kozi hiyo inaitwa Politicizing Beyonce na itakuwa inafundishwa na Chuo cha Rutgers cha New Jersey.

Kitengo cha Masomo ya Jinsia ya Wanawake kitakuwa kikifundisha juu ya jamii na utamaduni ya muimbaji huyo kimuziki na mfano wake.

DC Blog

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga