Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » » This is Why Ndoa ya Diamond Platnumz na Wema Sepetu Itadumu


Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz aka Dangote ni miongoni mwa wasanii wanaofanya vizuri katika music industry ndani na nje ya Tzee, yote ni kujituma kwake kwa kutoa hit songs za nguvu kama ‘Moyo Wangu’, ‘Ukimuona’, ‘Mbagala’, ‘Number One’ and so many songz zimempelekea kufika hapo halipo, mapenzi ya Dangote na Wema Sepetu aka Madam Wema yalianza pale jina la Diamond lilipoanza ku-make headline kwenye media kutokana na ngoma zake nyingi kukubalika, since that day mapenzi yao yalishamili kwa kasi sana ingawa walikuwa wana mvutano wa kutoaminiana na kusababisha Diamond Platnumz kuachana na Wema Sepetu na kumchukua Peniel Mungilwa aka Penny, but they could not last long mapenzi yakarudi tena kwa Wema Sepetu yote kutokana na Diamond kumuona Madam Wema ni msaada kwake, na kuna tetesi kuwa Wema Sepetu ananyota kali sana ya mafanikio kiasi cha kumfanya Dangote kuona umuhimu wa kufunga ndoa, na hivi ndivyo vitu vitano vinavyofanya ndoa ya Diamond Platnumz na Wema Sepetu kudumu kwa muda mrefu kama ndoa hiyo ikitokea.
Kutosikiliza maneno ya watu
tumeona ndoa nyingi sana za mastaa zinavunjika not only Tzee even abroad mfano kwa Bob Junior na Halima, Ezden na Dida yote ni kusikiliza sana maneno ya watu kuliko hisia zao wenyewe.
Diamond-Platnumz-59
Kusaidiana
Tukiangalia kwa Jay Z na Beyonce wanasaidiana sana kwenye kazi yao ili wazidi kuendelea ku-make mkwanja, so kwa Dangote na Wema wakiwa wanasaidiana watadumu na kufika mbali sana katika ndoa yao.
Super-couples-jay-z-beyonce-Diamond-Platnumz-Wema-Sepetu
Elimu
ukweli utabaki kuwa kweli Diamond Platnumz hana elimu ya kutosha kumzidi Wema Sepetu ila  ana mkwanja than Wema kitu kinachowafanya wazidi kujifunza kutoka kwa kila mmoja.
rp_diamond-wema.jpg
Kutambuana kitabia
kitu kitakachowafanya wazidi kudumu kwenye ndoa yao kila mmoja kumtambua mwenza wake coz wameshaumizana sana, kujivuna kwa sana na sasa watakua wanajua ni kitu gani wanapaswa wasifanye ili kutoumizana.
Diamond-Platnumz-62
Wote ni mastaa
Hii itawasaidia sana katika kuendeleza mshikamano wao katika ndoa kwa kujilinda kutokana na hadhi waliyonayo right now.
Wema-Sepetu-Diamond-Platnumz-Sasa-copyright-www-vibe-co-tz

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga